Kikwete waangalie sana hawa Tanesko wanakuangusha...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Haya tena watu wangu, kiwanja kingine cha kupata ujumbe huku ukicheka ndio hiki...www.nathankatuni.blogspot.com... Najua wakati mwingine mapene ya kununulia magazeti hutupiga chenga. Wee bofya tu mzee tucheke pamoja huku tukielimishana... aminia.
1 comment:
Ebwana big up sana mtu wangu kwa kuanzisha blog hii.. tunakufagilia kinoma yani usipime.. tuwasiliane kaka Nathan
Post a Comment